Kundi la watalii wa ndani ambao minongoni mwao walikuwa ni Askari kutoka chuo cha taaluma ya Polisi Moshi wakipanda kuelekea Shira Hut moja ya kilele katika Mlima Kilimanjaro. |
Ofa ya utalii wa ndani katika mlima Kilimanjaro ilijumuisha watu wa Kila Rika,hapa mmoja wa watalii wa ndani akiwa na mtoto wake mgongoni. |
Kiasi safari ilikuwa ngumu kwa baadhi ya watalii wa ndani
|
Kwa baba aliyebeba mwanae - BIG UP - These are photos that your children will cherish. When he is 18 and he thinks he is a 'big man' just show him this one...
ReplyDelete