Wajumbe wa Baraza la wafanyakazi linaloshughulikia Usalama na Afya mahala pakazi (OSHA) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dkt. Makongoro Mahanga (wa tatu kulia walioketi) mara baada ya kufunguliwa kwa Kikao cha Baraza hilo,jana kwenye Hoteli ya Millennium Mjini Bagamoyo.
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dkt. Makongoro Mahanga akibadilishana mawazo na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya mahala pa kazi (OSHA), Dkt. Akwilina Kayumba baada ya kuzindua Baraza la wafanya kazi linaloshughulikia Usalama na Afya mahala pakazi.kulia ni Katibu wa Baraza Renalda Damas aliye chaguliwa katika kikao cha baraza kilicho fanyika katika Hoteli ya Millennium Mjini Bagamoyo.
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira,Dkt. Makongoro Mahanga akaribishwa na Henry Mpande ambaye ni Mwenyekiti wa Hoteli ya kitalii ya Millennium iliyoko katika ufukwe wa Bahari ya Hindi mjini Bagamoyo Mkoa wa Pwani ambapo mkutano wa baraza la wakala wa usalama na afya katika mahala pakazi OSHA ulipofanyikia.Picha na Chris Mfinanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...