Kamera ya Globu ya Jamii,mchana hii imelinasa daladala hili linalofanya safari zake kati ya Mbagala Rangi tatu - Kawe likiwa limeingia mtararoni katika eneo la Kinondoni Moroco jijini Dar,baada ya kufanya mchepuko wakati barabara hiyo ikiwa na foleni ya Magari yaliyokuwa akisubiri ruhusa ya askari wa Usalama barabarani.Hapa ni jitihada za kulikwamua daladala zikifanyika.
Home
Unlabelled
HII NDIO FAIDA YA MICHEPUKO BARABARANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...