Anza Siku njema na NENO la MUNGU kila siku kwa kutembelea Ibada ya Kiswahili website na Ukurasa wa Ibada ya Kiswahili kwenye Facebook.
**   **   **            ** www.iykcolumbus.org **         **   **   **

NENO LA LEO: Yeremia 29:11, Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema Bwana, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.
 
TAFAKARI: Inawezekana kuna mtu aliwahi kukwambia kuwa anakuwazia mema na mwisho wa siku ukaja kugundua kuwa alikudanganya. Lakini yupo ambaye hadanganyi, wala hatakuja kufanya hivyo. Mungu hutuwazia mawazo ya amani, vyote alivyokuzuia usifanye au usipate ni kwa usalama watu sisi. Majaribu ni mafunzo ya kukabiliana na maisha ya ulimwenguni. Tuendelee kumwamini katika kiza kinene cha maisha yetu, tuwe na hakika kuwa asubuhi yetu inakuja.
 
SALA: Baba katika Jina la Yesu. Asante kwa mema yote uliyoniandalia katika maisha yangu. Ntaendelea kukuamini siku zote nikijua kuwa hutokuja kuniacha peke yangu. Kwa Jina la Yesu, Amina. (c) IYK_NENO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...