Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Naibu waziri Mawasiliano Sayansi na Technolojia na mbunge wa Bumbuli January Makamba wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa la Bumbuli Shughuli hiyo imefanyika katika Hotel ya Golden Tulip
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wimbo wa wanabumbuli mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip kwa ajili ya harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa la Kilutheri la Bumbuli, Kushoto ni askofu mkuu wa KKKT DKt.Gerhas  Malasusa, Watatu Kulia ni Dkt.Steven Munga wa Lushoto na kulia ni mbunge wa Bumbuli ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na teknolojia Mh.January Makamba Katika harambee hiyo jZaidi ya Shilingi milioni mia tatu zilipatikana
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na watu walioshiriki katika harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa la KKKT Bumbuli jana iliyofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam jana jioni.Walioketi mbele Wapili kushoto ni Mkuu wa Kanisa la KKKT Tanzania Askofu Dkt. Gerhaz Malasusa,Askofu wa Lushoto Steven Munga(Wanne kushoto) na Watano kushoto ni Mbunge wa Bumbuli ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mh.January Makamba.Zaidi ya Shilingi milioni mia tatu zilikusanywa katika harambee hiyo ikiwa ni ahadi,vifaa vya ujenzi na fedha taslimu Picha na Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...