Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akimpongeza Mjumbe wa Mkutano mkuu wa CCM,Taifa,Ndugu Hussein Bashe mara baada ya kukabidhi piki piki tatu kwa jumuiya za Chama,na Baiskeli 163 kwa ajili ya matawi yote ya CCM ya Wilaya ya Nzega kupitia mradi wao wa kuimarisha chama,pia alitoa baiskeli 37 kwa Jumuiya ya UVCCM wilayani humo,Pia alikabidhi kiasi cha shilingi Milioni mbili kwa kikundi cha Boda boda na milioni mbili kwa kikundi cha Mamalishe.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akimpongeza Mbunge wa Nzega,Mh.Hamisi Kingwangalla mara baada ya kukabidhi mashine ya kutotolea vifaranga kwa kikundi cha vijana.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahubia baadhi ya Wananchana na wafuasi wa chama cha CCM,katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Nzega mjini mapema leo.
Sehemu ya Wananchama na wafuasi wa chama cha CCM,wakimsikiliza Katibu MKuu wa CCM,Ndugu Kinana (hayupo pichani) akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Nzega mjini mapema leo.
Nape Nnauye akiwahubia Sehemu ya Wananchana na wafuasi wa chama cha CCM,katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Nzega mjini mapema leo.
Baadhi ya Baiskeli zilizotolewa na Mjumbe wa Mkutano Halmashauri kuu CCM Taifa,Ndugu Hussein Bashe kwa ajili ya kuwakabidhi viongozi wa mbalimbali wa chama hicho katika suala zima la kurahisha utendaji wao wa kazi.   

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...