Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya na Mkewe mama Lucy Mwandosya wakitoa heshima kwenye kaburi la Louis Rwagasore aliyekuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Burundi aliyeuawa Oktoba 1961
Waziri Mwandosya akutana na maafisa kutoka kiwanda cha saruji cha Mbeya Cement na mawakala wa Mbeya Cement Burundi.Waziri Mwandosya aliwapongeza Mbeya Cement kwa kuwa wauzaji wakubwa wa saruji Burundi.Aliwahimiza kuongeza juhudi kupanua soko Mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Kutoka kushoto ni Ephraim Kalinga,Meneja wa Mauzo ya nje Mbeya Cement,Waziri Mwandosya,Emil Sindato ,Meneja Ufundi Mbeya Cement, Debrah Hernandez,mwakilishi wa wakala,na Eric Aneca,mwalikilishi wa wakaala wa Mbeya Cement.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...