Konstebo Omary Kinga wa kikosi cha Zimamoto na Uokoaji Mkoani
Manyara akimpa maelezo ya namna ya kuzima moto mmoja kati ya
wanafunzi wa shule ya msingi Darajani iliyopo Wilayani Babati.
Ofisa habari na elimu ya umma wa ofisi ya Kamanda wa Zimamoto na
Uokoaji Mkoani Manyara, Koplo Chande Abdallah aliyesimama mbele ya
wanafunzi wa shule ya msingi Darajali Wilayani Babati akitoa maelezo
ya elimu ya zimamoto na uokoaji.
Mmoja wa wanafunzi wa shule ya msingi Darajali Wilayani Babati akijaribu kuzima moto baada ya kupata mafunzo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...