Waziri wa Fedha Mh.Saada
Mkuya Salum akizungumza na Mkurugenzi
Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Kusini Bw.Patrick Diamini (wa kwanza
kushoto) Mjini Kigali, Rwanda. Mh.Waziri yupo Nchini Rwanda kuhudhuria Mkutano
wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika.
Mh.Saada M.Salum akijadiliana
jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ya Kusini (DBSA)
Bw.Patrick Diamini (wa pili kushoto) baada ya kikao kilichofanyika Mount
Muhambara mjini Kigali, Rwanda.
Waziri wa Fedha Mh.Saada
M.Salum akipata maelezo kutoka kwa Amir Shaikh –‘Chief legal Council’ wa ‘African
legal for Support Facilities’,wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa ‘African
Legal for Support Facilities’ Bw. Stephen Karangizi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...