Innocent Melleck akikaribishwa na chipukizi katika uwanja wa Ghala -Himo wilaya ya Moshi vijijini kwa ajili ya kusimikwa kuwa naibu kamanda wa UVCCM katika wilaya hiyo.
Mbunge wa jimbo la Moshi vijijini Dk Cyril Chami (katikati) Innocent Melleck ,Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Moshi vijijini Moris Makoi na viongozi wengine wa CCM wakipunga mkono kwa wananchi (hawapo pichani) wakati wa shughuli ya kumsimika naibu kamanda wa UVCCM wilaya ya Moshi vijijini.
Mbunge wa jimbo la Moshi vijijini na kamanda wa UVCCM wilaya ya Moshi vijijini Dk Cyril Chami akimvisha vazi maalumu Innocent Melleckak wakati akisimikwa kuwa Naibu kamanda wa UVCCM wa wilaya hiyo. 
Mbunge wa jimbo la Moshi vijijini na kamanda wa UVCCM wilaya ya Moshi vijijini Dk Cyril Chami akimkabidhi Innocent Melleckak ngao na mkuki kuashiria kukabidhiwa majukumu ya kuwa Naibu kamanda wa UVCCM wa wilaya hiyo
Naibu kamanda wa UVCCM wilaya ya Moshi vijijini ,Innocent Melleck akiwa katika picha ya pamoja na vijana wa chipukizi muda mfupi baada ya kusimikwa kuwa naibu kamanda wa UVCCM wialaya ya Moshi vijijini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...