Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi waandamizi wa Ustawishaji Mkao Makuu Dodoma (CDA) muda mfupi baada ya viongozi hao kuwasilisha taarifa ya mpango mpya wa uendelezaji mji Mkuu Dodoma kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu ndogo mjini Dodoma leo asubuhi.Watatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi, na wanne kushoto pemebeni ya Rais ni Kaimu Mkurugenzi mkuu CDA Mhandisi Ibrahim Ngwada. Picha na Freddy Maro
Home
Unlabelled
JK apokea ripoti ya Uendelezaji Makao Makuu Dodoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Achaneni na ujenzi huu unaozidi kula pesa bure!
ReplyDeleteEti mji mkuu uwe katikati? Hii ni dhna iliyotokana na teknolojia ya industrial revulution: usafiri ulikuwa ni barabara na reli na idea ya long distance telecom.
Wakati wa gigital hakuna haja ya mji mkuu kuwa katikati!
Wakubwa hawataki kuachana na Dar, after all!