Makamu wa Rais wa Jamhuri ya watu wa China Li Yuanchao akipunga mkono
wakati akiteremka katika ndege na kuwasili Zanzibar kwa ziara ya kikazi
ya siku mbili.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao akivishwa shada
la Mauwa baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya watu wa China Li Yuanchao wakwanza kulia
akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Zanzibar baada ya
kuwasili,katikati ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali
Idi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi kulia akiwa
pamoja na mgeni wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li
Yuanchao wakikagua gwaride rasmi lililotayarishwahapo katika Uwanja wa
Ndege wa Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya watu wa China Li Yuanchao akiangalia
ngoma ya Utamaduni (Msewe)baada ya kuwasili Uwanja wa ndege wa Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao kushoto
akiwa pamoja na Meneja wa Hoteli ya Lagemma,Andrew Cook wakwanza kulia
walipowasili katika Hoteli hio huko Nungwi kaskazini Unguja kwa ajili ya
Kikao Maalum.PICHA NA MAKAME MSHENGA-MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...