Home
Unlabelled
Orodha vyuo vya kilimo ambavyo vimeongezwa na wizara ya kilimo chakula na ushirika, watanzania wenye sifa waweza kuomba kwa mhula wa masomo kwa 2014/15
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
'Agriculture it pays' !!!
ReplyDeleteKilimo kinalipa!!!
Tuache Usanii wa Mijini twende shamba tukalime na kupata Utajiri badala ya kuzama kwenye Usanii Mijini tukaishia Magerezani!
Wanaosema Raisi Jakaya Kikwete hajaleta maendeleo na kuwatoa watu ktk Umasikini wanatumia vigezo gani?
ReplyDeleteBased on Professionalism Jakaya Kikwete has made a very wonderful job !, just find The Award on Leadership Excellency ''Imactful 2013 African Leader of the year''
Look this the Economic growth has been at 6.9% to 7.1% despite of the challenge on distributing the growth something even the bigger economies of the world have got this.
Tanzaia is a unique and an example no many countries of the world can offer agriculture courses to its citizens like these, here take the opportunities !
ACHENI KULALAMIKA MAISHA MAGUMU NENDENI MKASOMEE KILIMO VYUO NDIO HIVYO HAPO TUMETAJIWA NA ANUANI ZAO , MKASOME MJIAJIRI KWA KILIMO NA KIJIKWAMUA KUTOKA KWENYE UMASIKINI!!!
Michongo kama hii ya Kozi za Kilimo za Serikali kwa Wananchi hata Kenya, Rwanda na Uganda hawanaga!
ReplyDeleteMaraisi wao huko hawana Mipango yenye akili kama hii, wao wanawaza hujuma, vita na mifarakano tu.
Halafu wenyeji mmezubaa wahamiaji haramu wakija kuchukua Fursa hizi mtalalamika?
Haya masuala ya michongo kama hii ya Kilimo ndiyo mambo yanayo wavuta Wahamiaji haramu (Burundi, Uganda na RWANDA) kuzamia Tanzania kwa JAKAYA KIKWETE kwenye maisha bora zaidi ya kwao!
Halafu Watanzania mtalalamika maisha magumu kazi hakuna wakati Kozi za Michongo ya Kilimo na kujiajiri ndio hizo?
ReplyDeleteWatanzania tuache Usanii Mijini na Umachinga kwa kuuza mashati matatu mikononi tukitembeza Mitaani, twende tukalime kwa kuwa Kilimo cha Kisasa cha Kisomi kwa kupitia ktk Elimu ya Vyuo kama hivi ni cha Uhakika na kinalipa!
ReplyDelete