Rais Jakaya Mrisho Kikwete akutana na kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Misri Mhe Abdel Fattah Al-Sisi mjini Malabo, Equatorial Guinea, pembeni ya Mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika Juni 26, 2014.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais mpya wa Misri Mhe Abdel Fattah Al-Sisi mjini Malabo, Equatorial Guinea, pembeni ya Mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika Juni 26, 2014.PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2014

    baada ya kuona picha hii nimekumbuka yale maneno ya jeshi kuchukua nchi wenzetu hufanya kweli si ya kuomba hapa kwetu.

    ReplyDelete
  2. Tutam miss sana rais wetu akiachia ngazi hapo mwakani

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 28, 2014

    Kuna wakati Au iliafiki kutounga mkono serikali ya nchi mojawapo ya Au iliyoingia madarakani kijeshi...mbona huyo wa Misri hwakumtenga; hata hapa tanzania tumepokea ujumbe kutoka kwake na zawadi ambatana!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...