Wadau kutoka nchi mbali mbali barani Afrika wakiwa kwenye tafrija maalum ya Universal Channel inayoonyeshwa kwenye DStV ikiwa ni sehemu ya uonyeshaji wa kazi mbali mbali za MultiChoice Africa.Picha zote na Othman Michuzi.
MC wa Kimataifa ambaye pia ni Muongozaji wa Mashindano ya Big Brother Africa, IK Osakioduwa akiongoza shughuli hiyo iliyofanyika jana usiku kwenye Hoteli yenye hadhi ya Kimataifa ya Trou Aux Biches,nchini Mauritius.

IK akifanya mahojiano na waigizaji wa moja ya filamu zinazoonyeshwa na kituo cha Telemundo.

Meneja Mahusiani na Mawasiliano na MultiChoice Tanzania,Barbara Hassan (kulia) akiwa na Waandishi wa Habari wa Tanzania wakati wa tafrija ya Universal Channel inayoonyeshwa kwenye DStV ikiwa ni sehemu ya uonyeshaji wa kazi mbali mbali za MultiChoice Africa.Toka kushoto ni Sidi Mgumia (Mtanzania),Barbara Hassan (Clouds FM),Esther Mngodo (Mwananchi) na Malio Njedengwa (TBC).
Wadau wakiwa kwenye tafrija hiyo
AU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...