Mwenyekiti wa Wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wa Tanzania, Adam Kimbisa, akifafanua jambo wakati wa mkutano na  waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu sakata la kutaka kumvua madaraka Spika wa Bunge hilo. Kulia ni mbunge wa bunge hilo, Twaha Taslima na Katibu wa Wabunge wa EALA, Shy-Rose  Bhanji.

Katibu wa Wabunge wa EALA, Shy-Rose  Bhanji akifafanua jambo wakati wa mkutano na  waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu sakata la kutaka kumvua madaraka Spika wa Bunge hilo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wa Tanzania, Adam Kimbisa na mbunge wa bunge hilo, Twaha Taslima.Mbunge wa bunge hilo, Twaha Taslima akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini dar es Salaam leo.Wabunge wa Jumiya ya AfrikaMashariki (EALA), wakitoka katika ukumbi wa Idara ya Habari jijini Dar es Salaam, baada ya mkutano wao na waandishi wa habari. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Wabunge wa Jumuiya hiyo kutoka Tanzana, Adam Kimbisa, Katibu wa Wabunge wa EALA, Shy-Rose Bhanji (katikati) na mbunge wa bunge hilo Twaha Taslima.

BOFYA HAPA KUSOMA WARAKA WAO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...