Waumini  wa  dini ya kiislamu mjini  Iringa  wakiwa katika ibada ya Eid el Firt  uwanja wa Samora  leo
Ibada ya   Eid ikiendelea katika uwanja wa Samora mjini Iringa  leo 
Wazee maarufu na makada  wa  CCM ambao ni waumini wa dini ya Kiislam  wakipiga picha ya pamoja na mwenyekiti wa CCM Iringa mjini Abed Kiponza  kulia  wa pili  kulia ni Mr  Mbata
Khutba baada ya SWala ya Eid el Fitr uwanja wa Samora mjini Iringa leo.
Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...