Mwanamuziki maaruffu wa Reggae barani Afrika Jhikoman ambaye anatarajia kupanda jukwaani wiki hii katika maonyesho ya 5th International African Festival Tubingen,2014,Germany. mwanamuziki (pichani) akiwa katika mazoezi ya viungo maarufu kama 'Uzee mwisho Chalinze' ndani ya Ujerumani. kwa wale wanataka kumpa Hi! +49(0)15211229655
 Kilomita 10 kila asubuhi si mchezo


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2014

    Imetulia hiyo Uzee sasa mwisho airport. lol
    Sixmund hapa

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 15, 2014

    Mazoezi ya kuimarisha mwili baada ya umri wa miaka 40 ni mazuri kwa afya.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 15, 2014

    10 km ni kama 6 miles...nafikiri ni umbali mzuri sana wa kutembea kila siku huo. Ukiweza kupiga hiyo kila siku basi lazima kitambi kikimbie!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...