Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea  Waziri wa Ulinzi wa China na ujumbe wake Jenerali Chang Wanquan Ikulu jijini Dar es salaam leo
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika  mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa China Jenerali Chang Wanquan  Ikulu jijini Dar es salaam leo
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Ulinzi wa China  Ikulu jijini Dar es salaam leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na Waziri wa Ulinzi wa China na ujumbe wake Jenerali Chang Wanquan Ikulu jijini Dar es salaam leo. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange na Balozi wa Tanzania nchini China Luteni Jenerali (mstaafu) Mhe Abdulrahman Shimbo pia walikuwepo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 04, 2014

    Haya mjionee wenyewe waziri wa ulinzi wa wenzetu........

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 05, 2014

    Anaonekana kuwa yuko makini.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...