Banda la NSSF linavyoonekana kwa nje.
Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF)
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na watoto wa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dk. Ramadhani Dau wakati alipotembelea banda la NSSF. Kutoka kushoto ni Abeid, Zhulkifir na Thamrat Dau.

The mdudu.mjomba Michuzi tafadhari nakuomba unitafutie number ya simu ya huyo dada alievaa nguo zenye rangi ya BENDERA YA TAIFA LETU mm muda wa kuowa umewadia mm huwa napenda wadada wazalendo wenzangu maana mm ni mzalendo wa kwanza kwa taifa langu
ReplyDeleteMzalendo unishi ughaibuni....???njoo vumbini huku tuuone uzalendo wako....Mdudu.
ReplyDeleteThe mdudu.sasa ww ndio yule dada au vipi? Kama ndio ww tupeane number plz mm kuishi ugaibuni wala siotatizo cha umuhimu kwanza ni mawasiliano.
ReplyDelete