Katibu wa Bunge Maalumu  la Katiba,Yahya Khamis Hamad akizungumza na Wanahabari mapema leo mchana katika ofisi ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dar,kuhusiana na maoni na ushauri wa kikao cha kamati ya Mashauriano ya Bunge maalum la katiba kilichofanyika jana julai,24,2004 katika Ofisi ndogo za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dar.Mh. Yahya alisoma taarifa hiyo kwa niaba ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,Mh. Samuel Sitta.
Baadhi ya Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Katibu wa Bunge Maalumu  la Katiba,Yahya Khamis Hamad,katika mkutano uliofanyika mapema leo katika ofisi ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dar.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 25, 2014

    Haya ni masihara na kupoteza hela za wananchi. Rasimu ya katiba ipelekwe moja kwa moja kwa wananchi; wananchi wataamua kuikubali au kuikataa. Cha msingi tu tuwe na tume huru ya kusimamia zoezi hilo

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 25, 2014

    Wazimu ncha Saba haya endeleeni na USANII wenu Bungeni tuone kama hiyo inayoitwa Katiba kama itapita kwa Wananchi

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 26, 2014

    Tatizo akina Kaisari wanafikiri wao ndo Tanzania na Tanzania ndo wao. Kila waamualo wao waspingwe! Haya wakaandike katiba yao pale bunjeni na sisi wananchi tuaandika ya kwetu huku mtaani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...