Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataaarifu wateja wake wa Mkoa wa  Temeke kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-


TAREHE:      16/07/2014, 17/07/2014 NA 19/07/2014
MUDA:           03:00Asubuhi – 12 Jioni   
                                                                                   
SABABU:      Kubadilisha nguzo zilizooza maeneo ya Feri Kigamboni.
                            
MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Feri, Tungi, Machava, Magogoni, Navy jeshini, Pikoli  na maeneo jirani.

Tafadhali usishike waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo 
2138352; 0222138352; 0788 499014,0736 501661 
au namba hii ya kituo cha huduma kwa Wateja:
2194400 au 0786985100.          
Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.


Imetolewa na:          OFISI YA UHUSIANO,
                                    TANESCO – MAKAO MAKUU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2014

    Hivi Temeke ni MKOA??

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 15, 2014

    Kuondoka tatizo la umeme Tanzania ni kukaribisha makampuni binafsi yawekeze kwenye umeme utashangaa Tanesco watakavyoamka kwenye usingizi wa kujiona wao ni miungu na hawana haja ya kuboresha miundombinu na mteja utalipa tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...