Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa Mkoani Kagera katika Kambi ya Jeshi la Wananchi Kaboya Wilayani Muleba. 
Kumbukumbu ya Mashujaa huadhimishwa kila mwaka jana Julai 25, 2013 ambapo mashujaa waliopigana vita katika kuikomboa nchi kutoka katika utawala wa wakoloni au kuikomboa nchi yao na wavamizi kama Nduli Idd Amini. 
Katika kuadhimisha siku hiyo ya Mashujaa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu alisema Mashujaa wote waliopoteza maisha yao watakumbukwa na taifa na kuenziwa milele.
Pia wale walio hai serikali itaendelea kuwajali na kuwatunza ipasavyo. 
Sherehe hizi mwaka huu  zinafanyika asubuhi hii katika Bustani ya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam, eneo la Mnara wa Mashujaa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...