Mkuu wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, ASP
Lwitiko Norman Kibanda, akizungumza na madereva wa pikipiki za kubeba
abiria ambao juzi waliandamana hadi kwenye kituo hicho wakipinga kutozwa
fedha sh22,000 na maofisa biashara wa wilaya hiyo, waliodai kuwa tozo
hizo ni amri ya Mamlaka ya Usafirishari wa vyombo vya usafiri wa majini
na nchi kavu (Sumatra).
Home
Unlabelled
MADEREVA WA BODA BODA SIMANJIRO MKOANI MANYARA WAANDAMANA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...