Mdau Ruger Kahwa ambaye ni mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia uratibu wa majanga na misaada ya kibinadamu nchini Papua New Guinea akitia saini kitabu cha maombolezo katika ubalozi wa Malyasia nchini Papua New Guinea kufuatia kutunguliwa ndege ya nchi hiyo na kuua abiria wote nchini Ukraine.
Home
Unlabelled
Mdau Ruger Kahwa akihani katika Ubalozi wa Malyasia nchini Papua New Guinea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...