Mdau Ruger  Kahwa ambaye ni mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia  uratibu wa majanga na misaada ya kibinadamu  nchini Papua New Guinea  akitia saini kitabu cha maombolezo katika ubalozi wa Malyasia  nchini Papua New Guinea kufuatia kutunguliwa  ndege ya nchi hiyo na kuua abiria wote nchini Ukraine.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...