Kutoka kushoto ni mkurugenzi wa taasisi ya biashara ya kimataifa iliyo chini ya wizara ya viwanda na biashara Singapore, Rahul Ghosh akibadilishana mawazo na Denis Rweyemamu na Linda Manu kutoka taasisi ya Uongozi ya Tanzania ambayo ndiyo iliyoandaa ziara ya mafunzo kwa makatibu wakuu na vionzoi waandamizi wa serikali ya Tanzania nchini Singapore.
 Baadhi ya makatibu wakuu walioko kwenye ziara ya mafunzo nchini Singapore yaliyoandaliwa na taasisi ya uongozi Tanzania, kutoka kushoto ni Dk Shabn Mwinjaka- Katibu mkuu wizara ya uchukuzi, Dk Ffolens Turuka- Katibu mkuu ofisi ya Waziri Mkuu,Dk Philip Mpango- Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Mipango na Dk Sivvacius Likwelile- Katibu Mkuu wizara ya Fedha.
Ujumbe wa makatibu wakuu na viongozi waandamizi wa serikali ya Tanzania wakiwa katika mafunzo nchini Singapore, kuhusu uendeshaji wa shughuli za serikali kwa ushirikiano na sekta binafsi PPP mfumo ambao umeisaidia kimaendeleo nchi ya Singapore, Ziara hii inaratibiwa na taasisi ya Uongozi ya Tanzania- Uongozi Institute. (Picha zote na Vedasto Msungu Singapore)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 11, 2014

    Tusubiri tuone kama watakuja na mawazo mapya.

    Zaidi tumezoea ziara kama hizi wakirudi kILA MMOJA KIMYA!.Sana sana siku moja utasikia oh tulipokuwa Singapore, oh tuli...
    Business as usual

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...