Ujumbe kutoka Tanzania ukiongozwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (wa nne kushoto), ukiwa katika kiwanda cha kutengeneza vifaa vya umeme jua cha Canadian Solar katika jimbo la Ontario nchini Canada.Wengine katika picha ni Mkurugenzi Mwandamizi wa Canadian Solar, Brian Lu (wa tano kushoto), Mwenyekiti Kamati ya Bunge, Nishati na Madini, Mhe.Victor Mwambalaswa(Mb.) (wa tatu kushoto), Mhe.Shafin Sumar (Mb.), (wa pili kulia), Mhe.Richard Ndasa (Mb.) (wa tatu kulia), Mhe.Murtaza Mangungu (Mb.) (wa nne kulia), Bw.Ronald Drews, Mratibu wa Masuala ya Biashara kwa Tanzania (wa tano kulia) pamoja na wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini na Canadian Solar.
Ujumbe kutoka Tanzania, ukiwa na Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Canadian Solar Bw.Shawn Qu (wa sita kushoto), mara baada kutembelea kiwanda kinachotengeneza vifaa vya umeme jua kinachomilikiwa na kampuni hiyo,. Katika picha ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (wa saba kutoka kushoto), Mwenyekiti Kamati ya Bunge Nishati na Madini, Mhe Victor Mwambalaswa (wa tano kushoto), Mhe.Richard Ndasa (Mb.) (wa tano kulia), Bw.Ronald Drews, Mratibu wa Masuala ya Biashara kwa Tanzania (wa nne kushoto), Paul Makelele (Afisa Ubalozi wa Tanzania nchini Canada), (wa nne kulia) pamoja na wataalam kutoka Canadian Solar na Wizara ya Nishati na Madini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...