Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 22, 2014

    Hivi Urais unanini? Wanaogombea wa Tanzania wanatiana vidole vya macho hawa wa wadogowadogo nao pia. What are they getting mpaka wakanyagane vichwa wang'oane meno kisa urais wa DMV? Hebu pigeni boksi acheni wazimu!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 22, 2014

    Kwa mtazamo wangu sababu za wagombea uongozi Dmv kuwa ktk mvutano.wagombea wote wanatetea nafasi zao na wanaotaka kuchaguliwa kwa mara ya kwanza
    -wote ni wabinafsi wanagombania nafasi hizo kwa sababu ya manufaa yao binafsi,wanajua kuwa kiongozi Dmv watapata au wamepata platform, ya kujulikana na viongozi wa kitaifa.
    Dmv ndio state inayotembelewa na viongozi wa kitaifa na wa vyama vya kisiasa wanapokuja marekani.
    Pia Dmv ni nyumbani kwa Glog ya vijimambo ambayo ina ushirikiano mkubwa na blog ya Michuzi. Hivyo wao kuwa viongozi Dmv wanapata nafasi ya kutokea sana ktk blog hizo maarufu Tanzania.
    Na malizia kwa kusema viongozi waliopo madarakani na wanaogombea wote wanafanya kwa manufaa yao binafsi ili baadae waje kutumia umaarufu walioupata ,na kukutana na viongozi wa kitaifa na kichama ili waweze kujipenyeza ktk siasa tanzania au hata kupata kazi wakirudi nyumbani.
    WOTE WANAFIKI.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 22, 2014

    Watanzania mna mambo. Naamini huyu balozi ni wawatanzania wote haina haja kwa jumuiya moja kumpaka matope. Uhsahisi wa upande mmoja huwa hauaminiki. Nafikiri kuliko kuandika gazetini ni vyema ungempigia simu balozi ama uende mwenyewe maana sio mbali muyamalize. Urais wa jumuia ni kitu kidogo sana.
    Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki wana diaspora

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 22, 2014

    "SAUTI YA BOARD MEMBA DMV" C'mon man why don't you put your name?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 23, 2014

    Bodi memba wangejibu maswali kwanza ya muhimu yalitolewa na mgombea kuliko kutaja utovu wa nidhamu. Nyie bodi memba au balozi jibuni maswali ya msingi.
    Pia naomba kukosoa. Balozi si mheshimiwa, wala rais wa tz hapa dmv. Mheshimiwa hapa ni majaji tu, yeye ni mwakilishi wa nchi yetu na katiba ya atc haimpi cheo chochote. Kwa hiyo kama kaamua kujiingiza maswala ya atc politics she is fair game to be critized/attacked.
    Unaposema balozi ni Kama mama yetu kwa hiyo wewe unakuwa mwanaye na kwa jinsi hiyo uamuzi wa mama huwa ni wa mwisho kwa mtoto wake. Kitu ambacho mgombea urais aliona hatakiwi kufanya
    hivyo kulingana na cheo chake kwenye jamii yake.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 23, 2014

    utovu upi wa nidhamu hapo? Simjibu maswali ya mgombea jamani? Acheni kuingiza siasa kwenye kila kitu.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 23, 2014

    Mgombea Uraisi au Mpigania Uraisi?

    Ama kweli Madiaspora si wenzetu tena hata Kiswahili kinawashinda sasa, Uhuru ndio unao piganiwa na Uraisi unagombewa!!!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 23, 2014

    Hizi Jumuiya hazina maana yeyote kazi yao kubwa kugombana tu. Nasikia huko New York hivo hivo tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...