Msanii mkongwe kwenye game la Bongo Fleva anajulikana kwa jina la Prof Jay leo mchana alikuwa akishoot video yake mpya aliyomshirikisha Diamond inaitwa KIPI SIJASIKIA. Video hiyo iliyokuwa ikishutiwa pale Sinza Makaburini ilipo Mahakama. Video imesimamiwa wa Dir Adam Juma kutoka Next Level
Diamond kama wakili wa Profesa J
Si bora wangetengeneza kabisa Bongo Movie maana ingekua kali sna badala ya video ya ''wimbo'' ikiwa na vikorombezo vyote vya kuifanya Bongo Movie.
ReplyDeleteMdau
Mpenda Bongo Movie