Kusaidina wakati wa shinda ndio kilimwengu ! Sisi sote ni viumbe wa mwenyezi Mungu , mfano hai wa kusaidiana ni huu pichani ! yaani mzee mzima ngamia akipewa Lift na Punda,chini ya usimamizi wa kiranja Binadamu ! Lakini msaada wa msafara huu mwisho wake !? sijui wapi? kama hospitalini ? au machinjioni ? au
mzee ngamia anapelekwa kufunga ndoa harusini siri ya msaada wa msafara huu wanaujua ni wausika ! au pengine ndio mambo Eco-Transport ?
HUU SI MASAADA MZURI NAONA SAFARI MWISHO WAKE NI UMAUTI KWA NGAMIA,MAANA BINADAMU SI VIUMBE WEMA
ReplyDeletemmm ? hii ankali kali ya mwaka,umetoa wapi?
ReplyDelete