Hatimaye jeshi la kujenga taifa limetangaza majina ya walimu ambao wanatakiwa kupitia jkt kwa ajili ya mafunzo MAALUM kama ilivyo kwa kidato cha sita,yajulikanayo kama mafunzo kwa mujibu wa sheria.
Walimu waliochaguliwa ni wa ngazi ya cheti ambao wamepangiwa vikosi vya kwenda.
Kuangalia majina hayo tafadhali BOFYA hapo chini;
Kwa nini walimu tu?
ReplyDeletewatu wanajipanga na uchaguzi mwakani ha ha ha
ReplyDeleteTarehe ya kuriport ni lini jamani? Naomba anayejua anijulishe.
ReplyDeleteni vizuri lakinini iwe ni wote waliomaliza kidato cha sita na wale waliochukua mafunzo kuanzia ngazi ya stashahada na kwenda juu.mafunzo yawe ya miezi sita
ReplyDelete