WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LENYE UREFU WA MITA 67.95 KATIKA BARABARA YA USAGARA –KISESA YENYE UREFU WA KM 16.8
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIPANDA KWENYE TUTA MARA BAADA YA UKAGUZI WA BARABARA YA USAGARA –KISESA YENYE UREFU WA JUMLA YA KM 16.8.
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIWAHUTUBIA MAMIA YA WAKAZI WA KATA YA FELA KUHUSU MAENDELEO NA CHANGAMOTO ZA UJENZI WA BARABARA YA USAGARA –KISESA YENYE UREFU WA JUMLA YA KM 16.8.
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIAGANA NA WAKAZI WA KATA YA FELA MARA BAADA YA KUWAHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA HADHARA JANA.
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKITOA MAELEKEZO KWA KAIMU MENEJA WA TANROADS MKOA WA MWANZA MHANDISI ERNEST NGAILE KUHUSU UJENZI WA BARABARA YA USAGARA –KISESA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...