Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Bwana. Rodgriguez Lionel anayemiliki duka katika mtaa unaoitwa Tabora uliopo jijini Brussels Ubelgiji. Mtaa huo ulipewa jina la Tabora mwaka 1916 kama ishara ya kumbukumbu ya ushindi wa majeshi ya nchi mbalimbali dhidi jeshi la Ujerumani katika mapigano ya Tabora - Tanzania ya vita Kuu ya Kwanza ya Dunia.
Home
Unlabelled
BALOZI KAMALA ATEMBELEA MTAA UNAOITWA TABORA ULIOPO JIJINI BRUSSELS UBELGIJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...