Fiesta ya mwaka huu inadhaminiwa
na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Premium
Lager. Baadhi ya wasanii watakaotumbuiza katika onyesho la leo ni, Diamond
Platinum, Ommy Dimpos, Linah, Chenge,
Temba, Shilole, Ally Kiba, Mr. Blue, Mwana FA, Young Killer, Ben Pol, Christian
Bella, Roma, Ney wa Mitego, Mkubwa na wanae, Barnaba, Belle 9, Rachel na Madee.
Home
Unlabelled
KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAZINDIUA MSIMU WA FIESTA 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...