Marehemu Mama Lucia Kibusi enzi za Uhai wake.
Watoto wa marehemu Martin na Steven Kibusi kulia wakiwa kwenye chakula cha pamoja baada ya ibada ya kumbukumbu ya kumuaga mama yao kumalizika kushoto ni marafiki wa karibu na watoto wa marehemu wakiwafariji marafiki zao. Pia familia ya marehemu walitoa shukurani za dhati kwa wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine katika msiba huu wa mpendwa mama yao na kuwezesha kukusanya $19,000 ili kuwezesha kusafirisha mwili wa marehemu nyumbani Tanzania " hatuna cha kuwalipa kitakacholingana na hicho kikubwa mlichoifanyia familia hii ya Kibusi, tunawaoombea kwa Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema awazidishie mara dufu"
Dua la kuombea chakula
Mkuu wa Wilaya ya Springfield, Alhaji Isaac Kibodya akiwa na shemeji yake na NY Ebra aliyewakilisha timu ya Vijimambo kwenye msiba huo.
Watanzania wa Massachusetts wakiwa wamejumuika pamoja kwenye chakula cha pamoja  baada ya Ibada ya kumbukumbu kumalizika
Kwa picha zaidi bofya HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...