DSC00331
Jeneza lililobeba mwili wa mchungaji mstaafu wa kanisa la Free Pentekoste (FPCT) Ihanja wilaya ya Ikungi, Andrew Duma (92).
DSC00343
Katibu mkuu wa makanisa ya Free Pentekoste nchini,Elias Shija, akihubiri kwenye ibada ya mazishi ya mchungaji mstaafu wa Free Pentekoste Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Andrea Duma.
DSC00357
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) Singida mjini, Hassan Mazala, akitoa nasaha zake kwenye ibada ya mazishi ya mchungaji mstaafu wa kanisa la Free Pentekoste Ihanja wilaya ya Ikungi, Andrea Duma.Mazishi hayo yamefanyika jumamosi katika kijiji cha Ihanja.
DSC00355
Baadhi ya viongozi wa madhehebu ya dini mbalimbali waliohudhuria mazishi ya mchungaji mstaafu wa kanisa la Free Pentekoste Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida.Andrea Duma.Mazishi hayo yamefanyika katika kijiji cha Ihanja Jumamosi iliyopita.
DSC00337
Baadhi ya waombelezaji waliohudhuria mazishi ya mchungaji mstaafu kanisa la Free Pentekoste Ihanja Andrea Duma yaliyofanyika katika kijiji cha Ihanja.
DSC00347
DSC00363
Jeneza lillobeba mwili wa mchungaji mstaafu wa kanisa la Free Pentekoste (FPCT) Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida Andrea Duma (92), likiingizwa kaburini, kuhitimisha safari yake hapa duniani.Mazishi hayo yamefanyika Jumamosi iliyopita katika kijiji cha Ihanja.(Picha zote na Nathaniel Limu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...