Muwasilishaji Toka Mfuko wa Pensheni wa NSSF Bw. Feruzi Mtika akiongea na waajiriwa wapya wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuhusu aina ya Mafao wanayotoa iwapo watajiunga na Mfuko huo, wakati wa Semina iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
Muwasilishaji toka Mfuko wa Pensheni wa GEPF Bi. Evelyne Kusenga akiwaeleza waajiriwa wapya wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo  kuhusu Mafao na faida wanayotoa iwapo watajiunga na Mfuko huo, wakati wa Semina iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
Meneja Masoko Toka Mfuko wa Pensheni wa PPF Bw. Martin Modigadi akiwaleza jambo watumishi wapya wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa semina elekezi kuhusu mifuko ya pensheni leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Afisa Toka Mfuko huo Bi Abela Luo.
Afisa Toka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bi. Hawa Kikeke akiongea na Waajiriwa wapya wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuhusu Faida watazopata iwapo watajiunga na mfuko huo, leo Jijini Dar es Salaam.
Kaimu Meneja Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bw. Arnold Kagaruki akiongea na watumishi wapya wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa semina elekezi kuhusu mifuko ya pensheni leo Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Msaidizi Rasilimali watu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo akiwaeleza jambo waajiriwa wapya wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo  wakati wa semina elekezi kuhusu mifuko ya pensheni leo Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...