Wachezaji wa timu ya Mbeya City, wakipata chakula kwenye moja ya mgahawa katika mji wa Majimoto Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, wakati timu hiyo ilipokwenda kucheza mechi ya kirafiki ya dhidi ya kombanini ya timu za City na Shinyanga United za wilayani humo. Mechi hiyo ilichezwa kwenye Uwanja wa Majimoto na timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1. PICHA: GODFREY KAHANGO
Home
Unlabelled
MSOSI TIME KABLA YA MECHI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
wali wenyewe umewekwa hamira chezea mamantilie wewe. Baada ya hapo ni kujamba mechi nzima
ReplyDelete