Naibu
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na
watendaji wakuu wa Taasisi ya kifedha ya UTT Microfinance, baada ya
kukata utepe kuzindua taasisi hiyo, Dar es Salaam jana.
Naibu
Waziri wa Fedha na Uchumi, Bw. Mwigulu Nchemba (wa pili kushoto),
akikata utepe kuzindua rasmi Taasisi ya huduma za Kifedha ya UTT
Microfinance, Dar es Salaam jana. Wa pili Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi
Balozi Fadhili Mbaga na Mtendaji Mkuu wa UTT, Bw. James Washima
(kushoto).
Naibu
Waziri wa Fedha Bw. Mwigulu Nchemba (katikati), akimsikiliza kwa makini
Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Kifedha ya UTT Microfinance, Bw. James
Washima wakati akimuonyesha vipeperushi, Dar es Salaam jana. Kushoto ni
Mwenyekiti wa Bodi, Balozi Fadhil Mbaga.
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kifedha ya UTT Balozi Fadhil Mbaga
(kushoto) na Mtendaji Mkuu wa taasisi hiyo, Bw. James Washima
wakimwangalia Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...