Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama dawa mbali mbali  zilizotengenezwa kwa kutumia Karafuu kabla ya kufungua  mkutano wa Pan African Competitiveness  Forum (PACF)  kwenye hoteli ya Stella Maris mjini Bagamoyo leo Agosti 13, 2014. Kulia ni Waziri wa Sayansi na Tekinolojia  Profesa Makame Mbarawa
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu  Mahiza (kushoto) na Waziri wa Sayansi na Tekinoloji, Profesa  Makame Mbarawa baada ya kufungua Mkutano wa Mwaka wa  Pan African Competitiveness Forum (PAC) mjini Bagamoyo  Agosti 13, 2014. Watatu Kulia ni Profesa Burton Mwamila.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya washiriki wa  Mkutano wa Mwaka wa  Pan African  Competitiveness Forum,  baada ya kufungua mkutano wa kwenye hoteli ya  Stella Maris Mjini Bagamoyo, Agosti 13, 2014. Kulia ni Waziri wa Sayansi na Tekinolojia, Profesa Makame Mbarawa  na Wavpili kulia ni Mhandisi Mohammed Jibrin kutoka Nigeria na kushoto ni General Garbal kutoka Nigeria
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akigomganishiana glasi na mjukuu wake Nicole katika mkusanyiko mdogo  na mfupi  sana wa kifamilia wa  kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwake  kwenye makazi yake  kwenye hoteli ya Stella Maris mjini `Dodoma Agosti 12, 2014. Wengine pichani ni binti zake, Namsi (kulia) na Yusta. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...