RATIBA YA KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MWENYEKITI MSTAAFU WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI   MHE. JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA YA RUFANI LEWIS MAKAME KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE TAREHE 22 AGOSTI, 2014.

MUDA
TUKIO
MHUSIKA
3.00- 3.30 ASUBUHI
WANANCHI NA WATUMISHI KUWASILI
KAMATI YA MAZISHI
3.30 – 4.00 ASUBUHI
VIONGOZI WASTAAFU, MAWAZIRI, MAJAJI WASTAAFU , VIONGOZI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, SERIKALI, TAASISI NA VYAMA VYA SIASA KUWASILI
KAMATI YA MAZISHI
4.00 -4.15 ASUBUHI
WAH. MAJAJI WA MAHAKAMA KUU KUWASILI
KAMATI YA MAZISHI
4.15 – 4.20 ASUBUHI
MHE. JAJI KIONGOZI

KAMATI YA MAZISHI
4.20 – 4.25 ASUBUHI
MAHAKAMA YA RUFANI KUWASILI
KAMATI YA MAZISHI
4.25 – 4.30 ASUBUHI
JAJI MKUU KUWASILI
KAMATI YA MAZISHI
4.30 – 4.40 ASUBUHI
SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO KUWASILI
KAMATI YA MAZISHI
4.40  - 4.45 ASUBUHI
MHE. WAZIRI MKUU KUWASILI
KAMATI YA MAZISHI
4.45  - 4.50   ASUBUHI
MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUWASILI
IKULU/ KAMATI YA MAZISHI
4.50 – 5.00 ASUBUHI
MHE. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUWASILI
KAMATI YA MAZISHI
5.00 – 5.05  ASUBUHI
MWILI WA MAREHEMU KUWASILI
KAMATI YA MAZISHI


5.05 – 5.10 ASUBUHI
SALA

5.10 – 5.20
WASIFU WA MAREHEMU
MWANAFAMILIA
5.20 – 5.30 ASUBUHI
NENO KUTOKA KWA CHAMA CHA MAJAJI WASTAAFU
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAJAJI WASTAAFU, MHE. JAJI MIHAYO
5.30 -5.40
NENO KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI LUBUVA
5.40 -5.50 ASUBUHI
NENO KUTOKA KWA MHE. JAJI MKUU
MHE. JAJI MOHAMED CHANDE OTHMAN
5.50 – 6.00 ASUBUHI
NENO KUTOKA KWA MHE. RAIS
MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE
6.0 -6.10 MCHANA
NENO LA SHUKURANI
MSEMAJI WA FAMILIA
6.10 MCHANA  6.50 MCHANA
KUAGA
KAMATI YA MAZISHI
6.50 -7.00 MCHANA
KUWASILI KANISANI – ST. ALBAN - UPANGA
KAMATI YA MAZISHI
7.00 MCHANA  - 9.00 ALASIRI
MISA YA KUMUOMBEA MAREHEMU

9.00 ALASIRI
KUONDOKA KUELEKEA MUHEZA - TANGA
KAMATI YA MAZISHI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...