Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiaana na Balozi Comoro Nchini Tanzania alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Comoro akiwa katika Ziara Ya Kiserikali akiwa amefuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein Na Viongozi Mbali Mbali
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akiwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Comoro Mohamed Ali Soilihi wakati Wimbo wa Taifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wimbo Wa Muungano Wa Comoro Ukipigwa. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipunga mikono kwa Wananchi wa Comoro akiwa na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Comoro,Mohamed Ali Soilihi Wakati wa mapokezo alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Comoro leo akiwa katika Zzara ya Kiserikali.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein pamoja na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Comoro,Mh. Mohamed Ali Soilihi wakiangalia Ngoma za Utamaduni mara walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Comoro leo akiwa katika ziara ya Kiserikali.[Picha Na Ramadhan Othman,Ikulu Zanzibar.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...