Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe Freeman Mbowe akiwasili kwenye makao makuu ya Jeshi la Polisi nchini,Mapema leo asubuhi tayari kwa kwenda kuhojiwa juu masuala mbalimbali likiwamo la kauli aliyoitoa kwenye Mkutano Mkuu wa chama hicho hivi katibuni, kuwa watafanya maandamano nchini nzima bila kikomo. Picha zaidi BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
FREEMAN MBOWE AFIKA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI KWA MAHOJIANO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Watanzania wote tuzingatie amani wakati wote wakufanya siasa za hoja na kuleta tija kwa nchi. Picha za malumbano na zogo haziashirii hali nzuri. Tukiweza tuziepuke rabsha hizi, ifikie wakati tuwe na siasa zilizokomaa zisizo na magomvi. Nchi yetu tuipe nafasi yake iwe muhimu kwetu wote kulumbana tukizingatia amani.
ReplyDelete