Leo ni miaka miwili sasa tokea  Mpendwa wetu VICTORIA,uliposikia sauti ya Mungu  wetu ikikuita nawe ukaitika. Bado tunakukumbuka kwa namna ya pekee kwa Ucheshi, Upendo na Upole.Kwetu kumbukumbu hizi ni hazina zetu.
Victoria unakumbukwa sana na mimi mama yako LYDIA,Baba yako mlezi mpendwa Japheth Mbwana,Mumeo mpenzi Emmanuel Kilato, Ndugu zako Godfrey, Mercy, Viollah, na wengine  wengi sana kama  Mama mkubwa, Wajomba zako, Wakwe zako, wanaukoo wote,Majirani wa Lumala,- Mwanza,Geita,Dodoma, Walimu wako wa Shule, na Chuo UDOM, wafanyakazi wa Benki kuu Mwanza,wanaparokia ya Pasiansi Mwanza,Wanaparokia wa Pasiansi – Mwanza,Wanajumuiya wa Mt.Fidel – Lumala Mwanza,Ndugu jamaa na marafiki hasa Masista wa Poor Clares wa Nyanguingi Mwanza.

MWENYEZI MUNGU AKUANGAZIE MWANGA WA MILELE UPUMZIKE KWA AMANI.AMINA.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Inauma lakini haina jinsi maana sote tu mali ya Bwana.Tuzidi kumuombea Mpendwa wetu Vicky-Richard

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...