Leo ni miaka miwili sasa tokea Mpendwa wetu VICTORIA,uliposikia sauti ya
Mungu wetu ikikuita nawe ukaitika. Bado
tunakukumbuka kwa namna ya pekee kwa Ucheshi, Upendo na Upole.Kwetu kumbukumbu
hizi ni hazina zetu.
Victoria unakumbukwa sana na mimi mama yako
LYDIA,Baba yako mlezi mpendwa Japheth Mbwana,Mumeo mpenzi Emmanuel Kilato,
Ndugu zako Godfrey, Mercy, Viollah, na wengine
wengi sana kama Mama mkubwa,
Wajomba zako, Wakwe zako, wanaukoo wote,Majirani wa Lumala,-
Mwanza,Geita,Dodoma, Walimu wako wa Shule, na Chuo UDOM, wafanyakazi wa Benki
kuu Mwanza,wanaparokia ya Pasiansi Mwanza,Wanaparokia wa Pasiansi –
Mwanza,Wanajumuiya wa Mt.Fidel – Lumala Mwanza,Ndugu jamaa na marafiki hasa
Masista wa Poor Clares wa Nyanguingi Mwanza.
MWENYEZI MUNGU AKUANGAZIE MWANGA WA MILELE UPUMZIKE
KWA AMANI.AMINA.
Inauma lakini haina jinsi maana sote tu mali ya Bwana.Tuzidi kumuombea Mpendwa wetu Vicky-Richard
ReplyDelete