Wahudumu wa Bunge wakibeba masanduku ya kura ili kuyapeleka kwenye chaumba cha kuhesabia kura baada ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kumaliza kazi ya kupiga kura Septemba 30, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka wakiteta bungeni Mjini Dodoma Septemba 30, 2014. Kushoto ni Spika wa Bunge, Anne Makinda.
 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Kingunge Ngombale Mwiru (kulia) wakizungumza na Mama Loyce Samike, Mama mzazi wa Mjumbe wa Bunge hilo, Dkt. Angelina Samike (wapili kushoto) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 30, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...