Washiriki
wa Mkutano wa Wadau wa Maendeleo, maafisa wa serikali na TASAF wakiwa katika
picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa mkutano huo kwenye ukmbi wa miktrano wa
Mwalim Nyerere jijini DSM.
Mkurugenzi
Mtendaji wa TASAF Bw Ladislaus Mwamanga akitoa neno la ukaribisho kwa washiriki
wa Mkutano wa pamoja baina ya wadau wa maendeleo,Maafisa wa serikali na
watendaji wa TASAF kwenye Ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini DSM leo.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Rais Bwana Peter Ilomo akifungua mkutano wa wadau wa Maendeleo
,maafisa wa Serikali na watendaji wa TASAF uliofanya mapitio ya Mpango wa
kunusuru kaya maskini uliofanyika kwenye Ukumbi kimataifa wa Nyerere Jijini DSM.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Rais Peter Ilomo (aliyeketi katikati) akiwa na viongozi wengine Katika
meza kuu wakifuatilia maelezo ya Mkurgenzi Mtendaji wa TASAF ,Bw. Ladislaus
Mwamanga (hayupo pichani) wakati wa ufungzi wa Mkutano wa mapitio ya Mpango wa
Kunusuru kaya maskini uliofanyika jijini DSM.
Wakurugenzi
wa TASAF Bw.Amedeus Kamagenge wa kwanza mbele na Fariji Mishael wa pili wakifuatilia mjadala
wa mapitio ya Mpango wa Kunusuru kaya maskini kati ya wadau wa maendeleo
,maafisa wa serikali na watendaji wa TASAF kwenye ukumbi wa kimataifa wa MWL jk
Nyerere jijini DSM.
Baadhi
ya washiriki wa Mkutano wa wadao wa maendeleo na wale wa serikali na TASAF
wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa mkutano uliojadili maendeleo ya utekelezaji
wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini PSSN.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...