Afisa Uhusiano wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Bi Tabu Shaibu
akiwaeleza waandishi wa Habari (Hawapo pichani) waandishi wa Habari kuhusu
Miradi iliyotekelezwa kwa ajili ya kupunguza msongamano katika halmashauri
hiyo, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Afisa
Habari wa Idara ya Habari Bw. Frank Mvungi.
Mhandisi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Bw. Batimagwa James
akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu hatua zinazochukuliwa na Manispaa hiyo
katika kuhakikisha barabara zinakuwa kwenye hali nzuri katika kipindi chote cha
mwaka.kulia ni Afisa Uhusiano wa Halmashauri hiyo Bi Tabu Shaibu.PICHA NA
HASSAN SILAYO-MAELEZO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...