Mkuu wa mkoa wa Arusha Bw.Magessa mulongo, akimkabidhi ngao Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Georgia Mutagahywa kwa kutambua mchango na jitihada za Vodacom kuhakikisha usalama barabarani,ngao hiyo ilikabidhiwa wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani yamefanyika kitaifa mkoani Arusha,kampuni ya Vodacom ni moja wa wadhamini wakubwa wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani mwaka huu
Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Georgia Mutagahywa akiwa na maofisa wa jeshi la polisi wakisilikiza hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Bw.Magessa mlongo,wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani ambayo imefanyika kitaifa mkoani Arusha,ambapo Vodacom Tanzania wamepewa tunzo ya kutambulika kwao katika kutoa mchango na jitihada za kuhakikisha usalama barabarani,Tuzo hiyo wamekabidhiwa katika siku ya ufunguzi wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani mwaka huu.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani wakimuangalia mtaalamu wa masuala ya uokoaji Bw. Nelson Gachiru,aliyekuwa kwenye moja ya banda la maonyesho katika uwanja waSheikh Amri mjini Arusha,Vodacom Tanzania ni moja ya wadhamini wakuu wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani mwaka huu na kuweza kujinyakulia ngao ya kutambulika kwa mchango wake na jitihada za kuhakikisha usalama barabarani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...