Bw Edwin Rutageruka, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara ya  Ndani, Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade),  akikabidhi Kompyuta, Vifaa vya Ofisi na Samani kwa  Bw.Raymond Mwanisawa, Mwenyekiti wa Kamati ya Ushirikiano  Mpakani (JBC) Tunduma ambaye pia ni Mkuu wa Kituo cha  Tunduma cha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).  Vifaa hivi  ni kwa ajili ya kuimarisha ufanisi wa kupitisha mizigo   na kupata taarifa za biashara Mipakani. Tukio hili  lilifanyika tarehe 10 September 2014 katika Mpaka wa Tunduma  Wilayani Momba Mkoani Mbeya. Wanaoshuhudia ni Maafisa  Waandamizi wa JBC Tunduma na TanTrade. Picha na  TanTrade

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...