Mkurugenzi
wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo
(kulia), akimkabidhi Mganga Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, SSP
Charles Msenga mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 24.6 kwa ajili
ya Wiki ya Nenda kwa Usalama inayotarajia kuanza hivi karibuni.
Anayeshuhudia makabidhiano hayo yaliyofanyika Dar es Salaam jana, ni
Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga.
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia), akimkabidhi Mganga Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, SSP Charles Msenga (wa pili kushoto) mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 24.6 kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa Usalama inayotarajia kuanza hivi karibuni. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo yaliyofanyika Dar es Salaam jana, ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga (wa pili kulia) na Mjumbe wa Kamati ya Usalama Barabarani, Henry Bantu.
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kushoto) na Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga wakionesha moja ya fulana zilizotolewa msaada na TBL kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa Usalama katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam jana. TBL ilikabidhi pia hundi yenye thamani ya sh. mil. 24.6 kwa ajili hiyo.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia), akimkabidhi Mganga Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, SSP Charles Msenga (wa pili kushoto) mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 24.6 kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa Usalama inayotarajia kuanza hivi karibuni. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo yaliyofanyika Dar es Salaam jana, ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga (wa pili kulia) na Mjumbe wa Kamati ya Usalama Barabarani, Henry Bantu.
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kushoto) na Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga wakionesha moja ya fulana zilizotolewa msaada na TBL kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa Usalama katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam jana. TBL ilikabidhi pia hundi yenye thamani ya sh. mil. 24.6 kwa ajili hiyo.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
wiki ya usalama barabarani na hizo fedha nyingi zitumike kwa kueleimisha madereva wakorofi na wajeuri na wenye viburi wanao sababisha AJALI kila siku, tumechoka....
ReplyDeleteMadereva hao tuna waona kila siku barabarani wakiendesha kwa kuhatarisha maisha ya watu na mali za watu....
ELIMU ni muhimu sio fulana na makofia na sherehe za uzinduzi zinazogharimiwa.
Hebu tupunguzeni madoido ya kujipamba... tumieni pesa kwa kubadilisha binaadamu na mawazo yao.... hakuna UBABE katika kuendesha gari barabarani....